Friday, October 23, 2015

KILIMO NA UKUZAJI WA ZAO # NYANYA

Nyanya ni aina ya mboga inayo zalishwa kwa wingi sana duniani. Kwa wilaya ya # LUSHOTO, nyanya ni zao la kipaumbele katika mazao ya mboga linalo limwa na kuliwa kwa wingi ukilinganisha na mboga zingine. Nyanya hutumika karibu Katika kila mlo. Kulingana na umuhimu wa zao hili kama chakula na pia kama zao linalomwingizia kipato Mkulima, kuna haja ya kutoa mafunzo kuhusu mbinu bora za uzalishaji wake. Pia kuna umuhimu wa kuelekeza wakulima wa lushoto na wakulima tarajali kutoka sehemu zingine wasiolima zao hili ili nao waweze kuzalisha nyanya na hivyo kuongeza idadi ya aina za mboga katika maeneo yao ili kujiongezea kipato na uhakika wa mboga. JIFUNZE !!!!!!

0 comments:

Post a Comment